17 Isa akawajibu, "Baba5:17 Jina Baba linaonesha uhusiano maalum wa Isa na Mwenyezi Mungu. yangu anafanya kazi yake daima hata siku hii ya leo, nami pia ninafanya kazi." 18 Maneno haya yaliwaudhi sana viongozi wa Wayahudi. Wakajaribu kila njia wapate jinsi ya kumuua, kwani si kwamba alivunja Sabato tu, bali alikuwa akimwita Mungu Baba yake, hivyo kujifanya sawa na Mungu.
Publicidade