Publicidade

Jeremias 1

6 Nami nikasema, "Aa, Bwana Mungu Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu."

7 Lakini Mwenyezi Mungu akaniambia, "Usiseme, Mimi ni mtoto mdogo tu.Utaenda popote nitakapokutuma na kunena lolote nitakalokuagiza. 8 Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe," asema Mwenyezi Mungu.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-