Pular para o conteúdo
Publicidade

Jeremias 15

20 Nitakufanya wewe uwe ukuta kwa watu hawa,

ngome ya ukuta wa shaba;

watapigana nawe

lakini hawatakushinda,

kwa maana mimi niko pamoja nawe

kukuponya na kukuokoa,"

asema Mwenyezi Mungu.

Veja também