Pular para o conteúdo
Publicidade

Yeremia 17

5 Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu:

"Amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu,

amtegemeaye mwenye mwili

kwa ajili ya nguvu zake,

ambaye moyo wake

umemwacha Mwenyezi Mungu.

7 "Lakini amebarikiwa mtu anayemtumaini Mwenyezi Mungu,

ambaye matumaini yake ni katika Mwenyezi Mungu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também