5 Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu:
"Amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu,
amtegemeaye mwenye mwili
kwa ajili ya nguvu zake,
ambaye moyo wake
umemwacha Mwenyezi Mungu.
7 "Lakini amebarikiwa mtu anayemtumaini Mwenyezi Mungu,
ambaye matumaini yake ni katika Mwenyezi Mungu.