32 Kweli, niko kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo," asema Mwenyezi Mungu. "Wanazisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini sikuwatuma wala sikuwaamuru. Hawawafaidi watu hawa hata kidogo," asema Mwenyezi Mungu.
Publicidade