34 Lieni na kuomboleza, enyi wachungaji,
mjigaragaze katika majivu,
ninyi viongozi wa kundi.
Kwa maana wakati wenu wa kuchinjwa umewadia;
mtaanguka na kuvunjwavunjwa
kama vyombo vizuri vya udongo.
34 Lieni na kuomboleza, enyi wachungaji,
mjigaragaze katika majivu,
ninyi viongozi wa kundi.
Kwa maana wakati wenu wa kuchinjwa umewadia;
mtaanguka na kuvunjwavunjwa
kama vyombo vizuri vya udongo.