14 "Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa kuwa mimi ni mume wenu," asema Mwenyezi Mungu. "Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka mji, na wawili kutoka ukoo, nami nitawaleta Sayuni.
14 "Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa kuwa mimi ni mume wenu," asema Mwenyezi Mungu. "Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka mji, na wawili kutoka ukoo, nami nitawaleta Sayuni.