16 Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu:
"Simama kwenye njia panda utazame,
ulizia mapito ya zamani,
ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,
nanyi mtapata amani nafsini mwenu.
Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita njia hiyo.’
16 Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu:
"Simama kwenye njia panda utazame,
ulizia mapito ya zamani,
ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,
nanyi mtapata amani nafsini mwenu.
Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita njia hiyo.’