9 Mke wake akamwambia, "Je, bado unashikamana na uadilifu wako? Mlaani Mungu nawe ukafe!"
10 Akamjibu, "Unazungumza kama mwanamke mpumbavu2:10 maana yake kupungukiwa maadili. Je, tupokee mema kutoka kwa Mungu, bali tusipokee mabaya?"
Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake.