Publicidade

Jó 2

9 Mke wake akamwambia, "Je, bado unashikamana na uadilifu wako? Mlaani Mungu nawe ukafe!"

10 Akamjibu, "Unazungumza kama mwanamke mpumbavu2:10 maana yake kupungukiwa maadili. Je, tupokee mema kutoka kwa Mungu, bali tusipokee mabaya?"

Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-