2 Akawaambia, "Mnapoomba, semeni:
" ‘Baba yetu [uliye mbinguni]11:2 Maandiko mengine ya kale hayana maneno haya.,
jina lako litukuzwe,
ufalme wako uje. [
Mapenzi yako yafanyike
hapa duniani kama huko mbinguni.]11:2 Maandiko mengine ya kale hayana maneno haya.
3 Utupatie kila siku riziki yetu.
4 Utusamehe dhambi zetu,
kwa kuwa na sisi huwasamehe wote wanaotukosea.
Wala usitutie majaribuni
[bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu]11:4 Maandiko mengine ya kale hayana maneno haya..’ "