25 Mwenyezi Mungu ni mwema kwa wale wanaomtumaini,
na kwa yule anayemtafuta;
26 ni vyema kungojea kwa utulivu
kwa ajili ya wokovu wa Mwenyezi Mungu.
25 Mwenyezi Mungu ni mwema kwa wale wanaomtumaini,
na kwa yule anayemtafuta;
26 ni vyema kungojea kwa utulivu
kwa ajili ya wokovu wa Mwenyezi Mungu.