Pular para o conteúdo
Publicidade

Marko 2

Isa ni Bwana wa Sabato

23 Siku moja ya Sabato, Isa pamoja na wanafunzi wake walikuwa wakipita katikati ya mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakitembea, wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke.

Veja também