3 Mwenyezi Mungu si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu,
Mwenyezi Mungu hataacha kuadhibu wenye hatia.
Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani,
na mawingu ni vumbi la miguu yake.
3 Mwenyezi Mungu si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu,
Mwenyezi Mungu hataacha kuadhibu wenye hatia.
Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani,
na mawingu ni vumbi la miguu yake.