12 Jipandieni wenyewe haki,
vuneni matunda ya upendo usio na kikomo,
vunjeni ardhi yenu isiyolimwa;
kwa kuwa ni wakati wa kumtafuta Mwenyezi Mungu,
hadi atakapokuja
na kuwanyeshea juu yenu haki.
12 Jipandieni wenyewe haki,
vuneni matunda ya upendo usio na kikomo,
vunjeni ardhi yenu isiyolimwa;
kwa kuwa ni wakati wa kumtafuta Mwenyezi Mungu,
hadi atakapokuja
na kuwanyeshea juu yenu haki.