3 Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa6:3 Ubatizo ni ishara ya kuungama dhambi na kusamehewa na Mwenyezi Mungu, na kuweka nadhiri ya kubadilisha mienendo ya awali. Wafuasi wa Isa Al-Masihi pia wanapokea Roho wa Mungu kama dhibitisho ya imani yao. katika Al-Masihi Isa tulibatizwa katika mauti yake?
Publicidade