Pular para o conteúdo
Publicidade

Warumi 7

24 Ole wangu, mimi maskini! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

25 Namshukuru Mungu anayeniokoa kupitia kwa Isa Al-Masihi Bwana wetu!

Hivyo basi, mimi mwenyewe kwa akili zangu ni mtumwa wa Torati ya Mungu, lakini katika asili ya dhambi ni mtumwa wa sheria ya dhambi.

Veja também