Mbingu mpya na nchi mpya
1 Isa 65:17;66:22;2 Pet 3:13;Ufu 20:11Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hakuna bahari tena.
27 Isa 52:1;Eze 44:9;Dan 12:1Na ndani yake hakitaingia kamwe chochote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-kondoo.