Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

118 resultados encontrados

  1. Jó 28

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 6–23 de 28

    6Mawe yake ni mahali zipatikanapo yakuti;Nayo ina mchanga wa dhahabu.

    10Hukata mifereji kati ya majabali;Na jicho lake huona kila kito cha thamani.

    23Mdo 15:18;Ebr 4:13 Mungu ndiye aijuaye njia yake,Naye anajua mahali pake.

  2. Provérbios 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–8 de 35

    2Maana zitakuongezea wingi wa siku.Na miaka ya uzima, na amani.

    5Yer 9:23 Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

    8Itakuwa afya mwilini pako,3:8 Au, kitovuni pako.Na mafuta mifupani mwako.

  3. Atos 25

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 2–22 de 27

    2Mdo 24:1 Kuhani Mkuu na wakuu wa Wayahudi wakampasha habari za Paulo, wakamsihi,

    12Basi Festo alipokwisha kusema na watu wa baraza, akajibu, Umetaka rufani kwa Kaisari! Basi, utakwenda kwa Kaisari.

    22Lk 23:8 Agripa akamwambia Festo, Mimi nami nilikuwa nikitaka kumsikia mtu huyu. Akasema, Utamsikia kesho.

  4. Salmos 83

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 83
    Mostrando versículos 6–13 de 18

    6Hema za Edomu, na Waishmaeli,Na Moabu, na Wahagari,

    7Gebali, na Amoni, na Amaleki,Na Filisti, nao wanaokaa Tiro,

    13Ee Mungu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli,Kama ya makapi mbele ya upepo,

  5. Isaías 61

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 61
    Mostrando versículos 2–10 de 11

    2Mt 5:4;Law 25:9;Mal 4:1-3 Kutangaza mwaka wa BWANA uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;

    72 Fal 2:9;Isa 40:2;Zek 9:12 Badala ya aibu yenu mtapata maradufu, na badala ya fedheha wataifurahia sehemu yao; basi katika nchi yao watamiliki maradufu; furaha yao itakuwa ya milele.

    10Ufu 21:2 Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.

  6. Isaías 50

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 50
    Mostrando versículos 9–11 de 11

    9Ayu 13:28;Zab 39:11;Ebr 1:11,12 Tazama, Bwana MUNGU atanisaidia; ni nani atakayenihukumu kuwa mwenye hatia? Tazama hao wote watachakaa kama vazi; nondo atawala.

    102 Nya 20:20 Ni nani miongoni mwenu amchaye BWANA, aitiiye sauti ya mtumishi wake? Yeye aendaye katika giza, wala hana nuru, naye alitumainia jina la BWANA, na kumtegemea Mungu wake.

    11Rum 10:3;Yn 9:39 Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.

  7. Salmos 44

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 21–26 de 26

    21Ayu 31:14;Zab 139:1;1 Sam 16:7;Mhu 12:14;Yn 2:25;Mdo 1:24;Rum 2:16;Ebr 4:12;Ufu 2:23 Je! Mungu hangegundua jambo hilo?Maana ndiye azijuaye siri za moyo.

    23Amka, Bwana, mbona umelala?Ondoka, usitutupe milele.

    26Uinuke, uwe msaada wetu,Utukomboe kwa ajili ya fadhili zako.

  8. Filipenses 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–11 de 21

    5Mdo 23:6;26:5;Rum 11:1;Lk 1:59;2:21 Nilitahiriwa siku ya nane, ni mtu wa taifa la Israeli, wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania, kwa habari ya kuishika torati, ni Farisayo,

    9Rum 3:21,22 tena nionekane katika yeye, nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu, kwa imani;

    11Mdo 4:2;Ufu 20:5,6 ili nipate kwa njia yoyote kuufikia ufufuo wa wafu.

  9. Sofonias 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–17 de 20

    1Ole wake yeye aliyeasi na kutiwa unajisi, mji wa udhalimu!

    2Yer 22:21;5:3 Hakuitii sauti; hakukubali kurudiwa; hakumwamini BWANA; hakumkaribia Mungu wake.

    17BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa;Atakushangilia kwa furaha kuu,Atakutuliza katika upendo wake,Atakufurahia kwa kuimba.

  10. Jeremias 23

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 9–29 de 40

    9Hab 3:15 Kuhusu habari za manabii.Moyo wangu ndani yangu umevunjika,Mifupa yangu yote inatikisika.Nimekuwa kama mtu aliye mlevi,Na kama mtu aliyeshindwa na divai;kwa ajili ya BWANA, na kwa ajili ya maneno yake matakatifu.

    282 Kor 2:17;1 Pet 4:10 Nabii aliye na ndoto, na aseme ndoto yake; na yeye aliye na neno langu, na aseme neno langu kwa uaminifu. Makapi ni kitu gani kuliko ngano? Asema BWANA.

    29Je! Neno langu si kama moto? Asema BWANA; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?

  11. Juízes 17

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 1–10 de 13

    1Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, aliyeitwa Mika.

    3Kut 20:4,23;Law 19:4;Kum 12:30;Zab 115:4-8 Basi akamrudishia mama yake hizo fedha elfu na mia moja. Mama yake akasema, Mimi naziweka fedha hizi kabisa ziwe wakfu kwa BWANA, zitoke mkononi mwangu kwa ajili ya mwanangu, ili kufanya sanamu ya kuchonga, na sanamu ya kusubu; basi kwa hiyo nakurudishia wewe.

    10Mwa 45:8;Amu 18:19;Ayu 29:16;Isa 22:21;Mwa 45:8 Mika akamwambia, kaa pamoja nami, uwe kwangu baba, tena kuhani, nami nitakupa fedha kumi kila mwaka, na nguo ya kuvaa, na vyakula. Basi huyo Mlawi akaingia ndani.

  12. 2 Reis 12

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 12
    Mostrando versículo 14 de 21

    14kwa sababu hiyo fedha waliwapa watenda kazi, wakaitengeneza kwayo nyumba ya BWANA.

  13. 2 Samuel 19

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 6–37 de 43

    6kwa kuwa unawapenda wakuchukiao, na unawachukia wakupendao. Maana umetangaza leo ya kuwa wakuu na watumishi wako si kitu kwako; maana leo nimetambua hivi; kama Absalomu angalikuwa hai, na sisi sote tungalikuwa wafu leo, ingekuwa vyema machoni pako.

    35Zab 90:10;Mhu 12:3-6 Sasa nina miaka themanini; nami je! Naweza kupambanua mema na mabaya? Mimi mtumishi wako, je! Naweza kuonja nilacho au ninywacho? Naweza kusikia tena sauti ya waimbaji wa kiume na wa kike? Kwa nini basi mtumishi wako azidi kumlemea bwana wangu mfalme?

    371 Fal 2:7;Yer 41:7 Niache nirudi basi, mimi mtumishi wako, ili nife katika mji wangu mwenyewe, karibu na kaburi la baba yangu na la mama yangu. Lakini tazama, mtumishi wako Kimhamu; na avuke yeye pamoja na bwana wangu mfalme; nawe ukamtendee yeye yaliyo mema machoni pako.

  14. Oséias 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 1 de 5

    1BWANA akaniambia, Nenda tena, mpende mwanamke apendwaye na rafiki yake, naye ni mzinzi; kama vile BWANA awapendavyo wana wa Israeli, ingawa wanaigeukia miungu mingine, na kupenda mikate ya zabibu kavu.

  15. Esdras 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–10 de 11

    12 Nya 36:22;Yer 25:12;Law 26:42;Ezr 5:13 Ikawa katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, ili kwamba neno la BWANA alilolisema kwa kinywa cha Yeremia lipate kutimizwa, BWANA akaamsha roho yake Koreshi, mfalme wa Uajemi, hata akapiga mbiu katika ufalme wake wote, akaiandika pia, akisema,

    9Na hii ndiyo hesabu yake; sinia za dhahabu thelathini, sinia za fedha elfu moja, visu1:9 Au, vyetezo. ishirini na tisa;

    10mabakuli ya dhahabu thelathini, mabakuli ya fedha ya namna ya pili mia nne na kumi,1:10 Au; mabakuli ya fedha elfu mbili mia nne na kumi. na vyombo vingine elfu moja.

  16. 1 Timóteo 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–9 de 16

    1Mdo 20:28 Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu,3:1 Askofu: maana yake ni, Mwangalizi. atamani kazi njema.

    41 Sam 2:12 mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;

    9wakiishika siri ya imani kwa dhamiri safi.

  17. Cânticos 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 5–14 de 14

    5Yn 17:14 Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani,Akimtegemea mpendwa wake?Nilikuamsha chini ya huo mpera;Huko mama yako alikuonea uchungu,Aliona uchungu aliyekuzaa.

    6Isa 49:16;Yer 22:24;Hag 2:23;Flp 3:8 Nitie kama mhuri moyoni mwako,Kama mhuri juu ya mkono wako;Kwa maana upendo una nguvu kama mauti,Na wivu ni mkali kama ahera.Mwako wake ni mwako wa moto,Na miali yake ni miali ya Yahu.

    14Wim 2:17 Ukimbie, mpendwa wangu,Nawe uwe kama paa, au ayala,Juu ya milima ya manukato.

  18. Jó 27

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 9–23 de 23

    9Mit 1:28;Isa 1:15;Mik 3:4;Zek 7:13;Yak 4:3 Je! Mungu atakisikia kilio chake,Taabu zitakapomfikia?

    10Ayu 22:26 Je! Atajifurahisha katika Mwenyezi,Na kumlingana Mungu nyakati zote?

    23Watu watampigia makofi,Na kumzomea atoke mahali pake.

  19. Mateus 28

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 3–15 de 20

    3Mt 17:2;Mdo 1:10 Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama theluji.

    4Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.

    15Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.

  20. João 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 2–21 de 25

    2Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.

    4Yn 19:26;Mt 12:48;Mk 1:24 Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.

    211 Kor 6:19 Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo