12Zab 34:9,10;Mt 6:33;Efe 3:20;1 Nya 29:25;2 Nya 9:22;Mhu 2:9 basi hekima na maarifa umepewa; nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa na mtu atakayekuwa navyo.
Resultados da busca por "fé"
116 resultados encontrados
- Capítulo 1
2 Crônicas 1
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 12 de 17 - Capítulo 3
2 Timóteo 3
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 2 de 172Rum 1:29 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
- Capítulo 3
Jó 3
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 15 de 2615Au pamoja na wakuu wenye dhahabu,Waliozijaza nyumba zao fedha;
- Capítulo 7
Esdras 7
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 15 de 28152 Nya 6:2;Zab 135:21 na kuichukua fedha na dhahabu, ambayo mfalme, na washauri wake, kwa hiari yao, wamemtolea Mungu wa Israeli, akaaye Yerusalemu;
- Capítulo 10
Eclesiastes 10
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 19 de 2019Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.
- Capítulo 13
Oséias 13
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 2 de 162Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama.
- Capítulo 5
2 Reis 5
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 5 de 2751 Sam 9:8;2 Fal 8:8,9 Mfalme wa Shamu akasema, Haya! Basi, mimi nitampelekea mfalme wa Israeli waraka. Basi akaenda zake, akachukua mikononi mwake talanta kumi za fedha, na vipande vya dhahabu elfu sita, na mavazi kumi.
- Capítulo 6
Zacarias 6
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 11 de 1511Kut 28:36 naam, pokea fedha na dhahabu, ukatengeneze taji, ukamvike kichwani Yoshua, mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu;
- Capítulo 39
Isaías 39
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 2 de 822 Nya 32:31 Hezekia akawafurahia, akawaonesha nyumba yake yenye vitu vyake vya thamani, fedha na dhahabu, na manukato, na marhamu ya thamani, na nyumba yote yenye silaha zake za vita, na vitu vyote vilivyoonekana katika hazina zake; hapakuwa na kitu nyumbani mwake wala katika ufalme wake ambacho hakuwaonesha.
- Capítulo 6
Provérbios 6
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 20 de 3520Efe 6:1 Mwanangu, shika maagizo ya baba yako,Wala usiiache sheria ya mama yako.
- Capítulo 44
Gênesis 44
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 1 de 341Akamwamuru yule msimamizi wa nyumba yake akisema, Jaza magunia ya watu hawa chakula kwa kadiri wawezavyo kuchukua, utie na fedha ya kila mtu kinywani mwa gunia lake.
- Capítulo 69
Salmos 69
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 6 de 366Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe,Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi.Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe,Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli.
- Capítulo 11
Êxodo 11
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 2 de 102Kut 3:22;12:35 Basi nena wewe masikioni mwa watu hawa, na kila mwanamume na atake kwa jirani yake, na kila mwanamke atake kwa jirani yake, vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu.
- Capítulo 24
2 Crônicas 24
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 5 de 2752 Fal 12:4;2 Nya 29:3;34:8 Akawakusanya makuhani na Walawi, akawaambia, Nendeni katika miji ya Yuda, mkakusanye fedha kutoka Israeli wote, ili kuitengeneza nyumba ya Mungu wenu mwaka kwa mwaka, mkafanye bidii kuliharakisha neno hili. Lakini Walawi hawakuliharakisha.
- Capítulo 29
1 Crônicas 29
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 2 de 302Kut 28:9;Isa 54:11,12;Ufu 21:18 Basi kwa uwezo wangu wote nimeiwekea akiba nyumba ya Mungu wangu, dhahabu kwa vitu vya dhahabu, na fedha kwa vitu vya fedha, na shaba kwa vitu vya shaba, na chuma kwa vitu vya chuma, na miti kwa vitu vya miti; vito vya shohamu, na vya kujazia, vito vya njumu, na vya rangi mbalimbali, na mawe ya thamani ya kila namna, na marumaru tele.
- Capítulo 8
Esdras 8
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 13 de 3613Na wa wana wa Adonikamu, hawa waliokuwa wa mwisho, na hayo ndiyo majina yao, Elifeleti, na Yeueli, na Shemaya; na pamoja nao wanaume sitini.
- Capítulo 46
Isaías 46
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 6 de 136Watu wamwagao dhahabu kutoka mfukoni, na kupima fedha katika mizani, huajiri mfua dhahabu, akaifanya mungu; huanguka, naam, huabudu.
- Capítulo 15
Salmos 15
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 5 de 55Eze 18:8,9 Asiyetoa fedha yake apate kula riba,Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia.Mtu atendaye mambo hayoHataondoshwa milele.
- Capítulo 47
Gênesis 47
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 14 de 3114Mwa 41:56 Yusufu akakusanya fedha zote zilizoonekana katika nchi ya Misri na katika nchi ya Kanaani, kwa nafaka waliyoinunua. Yusufu akazileta zile fedha nyumbani mwa Farao.
- Capítulo 9
2 Crônicas 9
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 14 de 3114Zab 68:29;72:10;Isa 45:14;60:6;Yer 25:24 mbali na ile waliyoileta wachuuzi na wafanya biashara; tena wafalme wote wa Arabuni, na watawala wa nchi wakamletea Sulemani dhahabu na fedha.