1Zab 83:1 Ee Mungu wa sifa zangu, usinyamaze,
9Kut 22:24;Yer 18:21 Wanawe na wawe yatima,Na mkewe na awe mjane.
18Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake.Ikamwingilia moyoni kama maji,Na kama mafuta mifupani mwake.
118 resultados encontrados
1Zab 83:1 Ee Mungu wa sifa zangu, usinyamaze,
9Kut 22:24;Yer 18:21 Wanawe na wawe yatima,Na mkewe na awe mjane.
18Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake.Ikamwingilia moyoni kama maji,Na kama mafuta mifupani mwake.
3Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.
4Ikawa baada ya haya, Yoashi alikuwa na nia ya kuitengeneza nyumba ya Mungu.
26Na hawa ndio waliomfanyia fitina, Zabadi mwana wa Shimeathi mwanamke Mwamoni, na Yehozabadi mwana wa Shimrithi mwanamke Mmoabi.
4Flp 3:19 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
15Yn 5:39;Zab 119:99 na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.
171 Tim 6:11 ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
10Kwa sababu haukuifunga milango ya tumbo la mamangu.Wala kunifichia taabu machoni.
11Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa?Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni?
12Mbona pawe na magoti ya kunipokea?Au hayo maziwa, hata nikanyonya?
4mwana wa Zerahia, mwana wa Uzi, mwana wa Buki,
5mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, kuhani mkuu;
23Ezr 6:10;Zab 68:29;Isa 60:12;Yer 12:14;1 Tim 2:1,2 Kila neno litakaloamriwa na Mungu wa mbinguni, na litendeke kikamilifu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni. Kwa nini itokee ghadhabu juu ya ufalme wa mfalme na wanawe?
1Nzi waliokufa hufanya manukato ya mwuza marashi kutoa uvundo;Kadhalika upumbavu haba ni mzito kuliko hekima na heshima.
2Mt 6:33;Kol 3:1 Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kulia;Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.
13Mwanzo wa maneno ya kinywa chake ni upuuzi; na mwisho wa usemi wake ni wazimu wenye hatari.
8nitawajia kama dubu aliyenyang’anywa watoto wake; nami nitararua nyama ya mioyo yao; na huko nitawala kama simba; huyo mnyama mkali atawararua.
12Kum 32:34 Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.
14Isa 25:8;26:19;1 The 4:14-17;Ufu 21:4;Rum 11:29;1 Kor 15:55 Nitawakomboa kwa nguvu za kaburi; nitawaokoa kutoka kwa mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Huruma itafichika machoni mwangu.
12Mit 14:17;16:32;Mhu 7:9;Efe 4:31;Kol 3:8;Yak 1:19 Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko maji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake, na kuwa safi? Akageuka, akaondoka kwa hasira.
13Watumishi wake wakamkaribia, wakamwambia, wakasema, Baba yangu, kama yule nabii angalikuambia kutenda jambo kubwa, usingalilitenda? Je! Si zaidi basi, akikuambia, Jioshe, uwe safi?
22Akasema, Amani. Bwana wangu amenituma, kusema, Tazama, sasa hivi wamenijia kutoka milimani mwa Efraimu vijana wawili wa wana na manabii; uwape, nakuomba, talanta ya fedha, na mavazi mawili.
2Zek 1:8;Ufu 6:4,5 Katika gari la kwanza walikuwa farasi wekundu; na katika gari la pili walikuwa farasi weusi;
3Ufu 6:2 na katika gari la tatu walikuwa farasi weupe; na katika gari la nne walikuwa farasi wa rangi ya kijivujivu.
9Neno la BWANA likanijia, kusema,
81 Sam 3:18 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya, Neno la BWANA ulilolinena ni jema. Tena akamwambia, Maana alifikiri, kutakuwapo na amani na usalama katika siku zangu mimi.
21 Fal 1:50;2:28;Zab 128:2;Hes 16:38 Nawe fanya pembe nne katika pembe zake nne; hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu; nawe utayafunika shaba.
4Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba; kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
8Kut 25:40;26:30;Ebr 8:5;Mdo 7:44 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake; kama ulivyooneshwa mlimani, ndivyo watakavyoifanya.
2Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako,Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,
12Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu;Huenda njiani mwenye kinywa cha upotovu.
18Mwa 6:5;Isa 59:7;Rum 3:15 Moyo uwazao mawazo mabaya;Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;
2Na kikombe changu, kikombe kile cha fedha, ukitie kinywani mwa gunia la yule mdogo pamoja na fedha ya nafaka yake. Akafanya kama vile alivyomwambia Yusufu.
5Je! Kikombe hiki, sicho anyweacho bwana wangu? Naye hufanya uaguzi kwacho. Mmefanya vibaya kwa kufanya hivi.
19Wewe, bwana wangu, ulituuliza watumwa wako, ukisema, Je! Mnaye baba, au ndugu?
3Nimechoka kwa kulia kwangu,Koo yangu imekauka.Macho yangu yamedhoofikaKwa kumngoja Mungu wangu.
14Uniponye kwa kunitoa matopeni,Wala usiniache nikazama.Na niponywe kutoka kwa wanaonichukia,Na kutoka katika vilindi vya maji.
31Nayo yatampendeza BWANA kuliko ng’ombe,Au ndama mwenye pembe na kwato.
71 Fal 3:5;Mit 3:5;Isa 58:9 Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.
151 Fal 10:27;Ayu 22:24 Mfalme akafanya fedha na dhahabu kuwa kama mawe humo Yerusalemu, na mierezi akaifanya kuwa kama mikuyu iliyomo Shefela, kwa kuwa mingi.
5ya dhahabu, kwa vitu vya dhahabu, na ya fedha kwa vitu vya fedha, na kwa kazi za kila namna zitakazofanywa kwa mikono ya mafundi. Ni nani basi ajitoaye kwa moyo ili ajiweke wakfu leo kwa BWANA?
11Dan 4:34,35;Mt 6:13;1 Tim 1:17;Ufu 5:13 Ee BWANA, ukuu ni wako, na uweza, na utukufu, na ushindi, na enzi; maana vitu vyote vilivyo mbinguni na duniani ni vyako; ufalme ni wako, Ee BWANA, nawe umetukuzwa, u mkuu juu ya vitu vyote.
17Kum 8:2;1 Sam 16:7;Zab 7:9;1 Nya 28:9;Mit 16:2;21:2;Yer 17:10;Ebr 4:13;Zab 11:7;Mit 11:20 Nami ninajua, Mungu wangu, ya kuwa wewe wajaribu moyo, nawe wapendezwa na unyofu. Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa haya yote kwa hiari yangu mwenyewe; nami sasa nimeona kwa furaha watu wako, waliopo hapa, wakikutolea kwa hiari yao.
3Ezr 2:3 wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.
11Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.
23Kum 4:29;1 Nya 5:20;2 Nya 33:13;Isa 19:22;Yer 29:12,13 Basi tukafunga, tukamsihi Mungu wetu kwa ajili ya hayo; naye akatutakabali.
1Yer 51:44;10:5 Beli anaanguka chini, Nebo anainama; sanamu zao ziko juu ya wanyama, na juu ya ng’ombe; vitu vile mlivyokuwa mkivichukua huku na huku vimekuwa mzigo, mzigo wa kumlemea mnyama aliyechoka.
8Kumbukeni haya, mkajioneshe kuwa wanaume; jifahamisheni haya, ninyi mkosao;
12Rum 10:3 Nisikilizeni, ninyi mlio na moyo mshupavu, mlio mbali na haki;
3Kut 3:21;12:36;Zab 106:46;2 Sam 7:9;Est 9:4 BWANA akawapa watu hao kibali machoni pa Wamisri. Zaidi ya hayo, huyo Musa alikuwa ni mkuu sana katika nchi ya Misri, machoni pa watumishi wa Farao, na machoni pa watu wake.
5Amo 4:10 na wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri watakufa, tangu yule mzaliwa wa kwanza wa Farao aketiye katika kiti chake cha enzi, hata mzaliwa wa kwanza wa huyo kijakazi aliye pale nyuma ya jiwe la kusagia; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama.
9BWANA akamwambia Musa, Farao hatawasikiza ninyi; kusudi ajabu zangu ziongezeke katika nchi ya Misri.
1Zab 2:5 BWANA, ni nani atakayekaaKatika hema yako?Ni nani atakayeishiKatika kilima chako kitakatifu?
2Zab 84:11;Isa 33:15,16 Ni mtu aendaye kwa ukamilifu,Na kutenda haki.Asemaye kweli kwa moyo wake,
3Asiyesingizia kwa ulimi wake.Wala kumtenda mwenziwe mabaya,Wala kumsengenya jirani yake.