21Najikumbusha neno hili,Kwa hiyo nina matumaini.
26Zab 37:7 Ni vema mtu autarajie wokovu wa BWANANa kumngojea kwa utulivu.
29Ayu 42:6 Na atie kinywa chake mavumbini;Ikiwa yamkini liko tumaini.
12 resultados encontrados
21Najikumbusha neno hili,Kwa hiyo nina matumaini.
26Zab 37:7 Ni vema mtu autarajie wokovu wa BWANANa kumngojea kwa utulivu.
29Ayu 42:6 Na atie kinywa chake mavumbini;Ikiwa yamkini liko tumaini.
242 Kor 5:7 Kwa maana tuliokolewa kwa tumaini; lakini kitu kilichotumainiwa kikionekana, hakiwi tumaini tena. Kwa maana ni nani anayekitumainia kile akionacho?
25Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.
35Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?
1Zab 88:3,4 Roho yangu imezimia, siku zangu zimekoma,Kaburi i tayari kunipokea.
15Basi, tumaini langu liko wapi?Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?
162 Kor 1:9;Zab 88:4-8;Ayu 3:17 Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu,Itakapokuwapo raha mavumbini.
5Zab 90:4 Tazama, umefanya siku zangu kuwa mashubiri;Maisha yangu ni kama si kitu mbele zako.Kila mwanadamu, ingawa amesitawi, ni ubatili.
7Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana?Matumaini yangu ni kwako.
12Law 25:23;1 Nya 29:15 Ee BWANA, usikie maombi yangu,Utege sikio lako niliapo,Usiyapuuze machozi yangu.Kwa maana mimi ni mgeni wako,Msafiri kama baba zangu wote.
2Wewe utanena maneno haya hadi lini?Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?
14Uthabiti wake utavunjika,Na matumaini yake huwa ni utando wa buibui.
17Mizizi yake huzongazonga chuguu,Huangalia mahali penye mawe.
12Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua.Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.
15Ufahamu mwema huleta upendeleo;Bali njia ya muasi huangamiza.
17Mjumbe mbaya huanguka maovuni;Bali mjumbe mwaminifu ni afya.
3Hasar-shuali, Bala, Esemu;
36Adama, Rama Hazori;
37Kedeshi, Edrei, Enhasori;
12Yn 14:6;Ebr 4:16;Rum 5:2 Katika yeye tunao ujasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya kumwamini.
17Yn 14:23;Kol 1:23;2:7 Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;
21naam, atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina.
20Rum 15:33;Mwa 3:15 Naye Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi. [Amina.]
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.]
271 Tim 1:17;Yud 1:25 Ndiye Mungu mwenye hekima peke yake. Utukufu una yeye kwa Yesu Kristo, milele na milele. Amina.
26Amamu, Shema, Molada;
42Libna, Etheri, Ashani;
52Arabu, Duma, Eshani;
61 Kor 12:4-11 Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa ni unabii, tutoe unabii kwa kadiri ya imani;
91 Pet 1:22;1 Tim 1:5;Amo 5:15 Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.
121 The 5:17 kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; mkidumu katika kusali;
1Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,
6Ayu 1:1;Mit 3:26 Je! Dini yako siyo tegemeo lako?Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?
9Kwa pumzi za Mungu huangamia.Na kwa kuvuma kwa hasira zake humalizika.