Pular para o conteúdo
Publicidade

Deuteronômio 11

18 Kum 6:6-9Kwa hiyo yawekeni maneno yangu mioyoni mwenu na rohoni mwenu; yafungeni yawe dalili juu ya mikono yenu, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yenu. 19 Mit 22:6Nayo wafunzeni watoto wenu kwa kuyazungumza uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo. 20 Hab 2:2Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba yako, na juu ya malango yako; 21 Mit 3:2;4:10;Zab 72:5;89:29ili siku zenu zifanywe nyingi, na za vijana vyenu nao, juu ya nchi BWANA aliyowaapia baba zenu kuwa atawapa, kama zilivyo siku za mbingu juu ya nchi.

Veja também