Pular para o conteúdo
Publicidade

Deuteronômio 32

16 Wakamtia wivu kwa miungu migeni,

Wakamkasirisha kwa machukizo.

17 1 Kor 10:20Walitoa sadaka kwa pepo, si Mungu,

Kwa miungu wasiyoijua,

Kwa miungu mipya iliyotokea siku zilizo karibu,

Ambayo baba zenu hawakuiogopa.

18 Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa,

Mungu aliyekuzaa umemsahau.

Veja também