9 Mit 4:23;23:19;3:1,3;4:21;Mwa 18:19;Kum 6:7;11:19;Zab 78:5,6;Mit 22:6;Efe 6:4Lakini, jihadhari nafsi yako, ukailinde roho yako kwa bidii, usije ukayasahau mambo yale uliyoyaona kwa macho yako, yakaondoka moyoni mwako siku zote za maisha yako; bali uwajulishe watoto wako na watoto wa watoto wako; 10 Kut 19:9,16;20:18;Ebr 12:18siku ile uliyosimama mbele za BWANA wako huko Horebu, BWANA aliponiambia, Nikusanyieni watu hawa, nami nitawafanya wasikilize maneno yangu, ili wajifunze kunicha mimi siku zote watakazoishi duniani, wakapate na kuwafundisha watoto wao.
Publicidade