29 Kum 32:29;Zab 81:13;Isa 48:18;Yer 44:4;Mt 23:37;Lk 19:42;2 Kor 5:20;6:1;7:1;Ebr 12:25;Kum 11:1;Zab 119:1-5;Lk 11:28;Yn 15:14;Ufu 22:14Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!
Publicidade