13 Wamisri wakawatumikisha wana wa Israeli kwa ukali; 14 Kut 2:23;22:21;Law 25:14,17;Hes 20:15;Ayu 20:19;Mit 14:31;22:22;Mdo 7:19,34;Zab 10:17,18;81:6wakafanya maisha yao kuwa machungu kwa kazi ngumu; kazi ya chokaa na ya matofali, na kila namna ya kazi ya mashamba; kwa kazi zao zote walizowatumikisha kwa ukali.