5 Kum 4:20;7:6;10:14;14:2;26:18;32:8;1 Fal 8:53;Zab 50:12;135:4;Tit 2:14;1 Kor 10:26Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu,
Publicidade