Pular para o conteúdo
Publicidade

Êxodo 2

5 Mdo 7:21Basi binti Farao akashuka, aoge mtoni, na vijakazi wake wakatembea kando ya mto; naye akakiona kile kikapu katika nyasi, akamtuma kijakazi wake kwenda kukileta. 10 Mdo 7:21Mtoto akakua, naye akamleta kwa binti Farao, akawa mwanawe. Akamwita jina lake Musa.2:10 Jina hili Musa katika Kiebrania ni ‘Mosheh’. Linatokana na neno ‘mashah’ kwa maana ya ‘kutoa’. Katika lugha ya Kimisri neno Musa ni ‘kupata mtoto’, akasema, Kwa sababu nilimtoa majini.

Veja também