22 Kut 29:42;30:6,36;Law 16:2;Hes 17:4;Eze 9:3;Yak 2:13;1 Sam 4:4;6:2;2 Fal 19:15;Zab 80:1;90:1;Isa 37:16Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.
Publicidade