23 Ebr 4:14Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu; 24 Ebr 13:1tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri; 25 Ebr 3:13wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.