Pular para o conteúdo
Publicidade

Romanos 12

Maisha mapya katika Kristo

1 Rum 6:11,13;1 Pet 2:5;Yn 4:24Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. 2 Efe 4:23;5:10,17;Rum 1:28;Gal 1:4Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.

Veja também