Amizade
A amizade é um dos dons mais preciosos da vida. A Bíblia celebra amizades profundas — Davi e Jônatas, Rute e Noemi, Paulo e Timóteo — modelos de lealdade, fé e amor.
Valor da amizade
Há amigo mais chegado do que um irmão. Em todo tempo ama o amigo. A amizade verdadeira permanece nas tempestades.
Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa maangamizi yake mwenyewe;
Lakini yuko rafiki aambatanaye na mtu kuliko ndugu.
Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa maangamizi yake mwenyewe;
Lakini yuko rafiki aambatanaye na mtu kuliko ndugu.
Rafiki hupenda sikuzote;
Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu.
Rafiki hupenda sikuzote;
Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu.
Afunikaye kosa hutafuta kupendwa;
Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.
Chuma hunoa chuma;
Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
Chuma hunoa chuma;
Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
Marhamu na manukato huufurahisha moyo;
Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.
Marhamu na manukato huufurahisha moyo;
Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.
Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako,
Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako.
Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali.
Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako,
Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako.
Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali.
Lawama ya wazi ni heri,
Kuliko upendo uliositirika.
Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli;
Bali busu la adui ni udanganyifu.
Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima;
Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.
Mtu mshupavu huleta fitina;
Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.
Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi;
Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi;
Usije ukajifunza njia zake;
Na kujipatia nafsi yako mtego.
Amizade cristã
Vós sois meus amigos se fazeis o que eu mando. Jesus nos chama de amigos — que honra imensa e responsabilidade!
Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.
Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;
Kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara; yaani, tufarijiane mimi na ninyi, kila mtu kwa imani ya mwenzake, yenu na yangu.
Mungu ni upendo
Wapenzi, na mpendane; kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.
Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana. Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu, na pendo lake limekamilika ndani yetu.
Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.
Exemplos bíblicos
Davi e Jônatas fizeram aliança de amizade. Rute se apegou a Noemi. Abraão foi chamado amigo de Deus.
Agano la Yonathani na Daudi
Ikawa Daudi alipokwisha kusema na Sauli, roho ya Yonathani, ikaambatana na roho ya Daudi, Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe. Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake. Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.
Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.
Daudi amhurumia Mefiboshethi
Kisha Daudi akasema, Je! Amesalia mtu mmoja katika nyumba ya Sauli, nipate kumtendea mema kwa ajili ya Yonathani?
Naye Ruthu akasema,
Usinisihi nikuache,
Nirudi nisifuatane nawe;
Maana wewe uendako nitakwenda,
Na wewe ukaapo nitakaa.
Watu wako watakuwa watu wangu,
Na Mungu wako atakuwa Mungu wangu;
Pale utakapofia ndipo nitakufa nami,
Na papo hapo nitazikwa;
BWANA anitende vivyo hivyo na kuzidi,
Ila kufa tu kutatutenga wewe nami.
Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu.
Kwake huyo atakaye kuzima roho inapasa atendewe mema na rafiki;
Hata kwake huyo aachaye kumcha Mwenyezi.
Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.
Companheirismo
Dois são melhores do que um. Quão bom e suave é que os irmãos vivam em união! A amizade fortalece e edifica.
Thamani ya kuwa na rafiki
Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja;
Kwa sababu wana tuzo njema kwa kazi yao.
Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watamstahimili; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.
Thamani ya kuwa na rafiki
Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja;
Kwa sababu wana tuzo njema kwa kazi yao.
Baraka za kuwa na umoja
Tazama, jinsi ilivyo vyema, na kupendeza,
Ndugu kuishi pamoja, kwa umoja.
Baraka za kuwa na umoja
Tazama, jinsi ilivyo vyema, na kupendeza,
Ndugu kuishi pamoja, kwa umoja.
Ni kama mafuta mazuri kichwani,
Yashukayo ndevuni, ndevu za Haruni,
Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.
Ni kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni.
Maana huko ndiko BWANA alikoamuru baraka,
Naam, uzima hata milele.
Mungu huwapa wapweke makao yao;
Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha;
Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.
Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.