Publicidade

Salmos 133

Baraka za kuwa na umoja

Wimbo wa kupanda mlima.

1 Mwa 13:8;1 Kor 1:10 Tazama, jinsi ilivyo vyema, na kupendeza,

Ndugu kuishi pamoja, kwa umoja.

2 Kut 30:25 Ni kama mafuta mazuri kichwani,

Yashukayo ndevuni, ndevu za Haruni,

Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.

3 Kum 4:48;28:8;Law 25:11;Dan 12:2,3;Mt 25:34,46;Yn 4:14;17:3;Ebr 7:25;1 Yoh 5:20 Ni kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni.

Maana huko ndiko BWANA alikoamuru baraka,

Naam, uzima hata milele.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_12-11-46-