Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 131

Kumtumainia Mungu kwa utulivu

Wimbo wa kupanda mlima.

1 Rum 12:16 BWANA, moyo wangu hauna kiburi,

Wala macho yangu hayainuki.

Wala sijishughulishi na mambo makuu,

Wala mambo yanayozidi nguvu zangu.

2 Mt 18:3 Hakika nimeituliza nafsi yangu,

Na kuinyamazisha.

Kama mtoto aliyeachishwa kunyonya

Kifuani mwa mama yake;

Roho yangu ni kama mtoto,

Aliyeachishwa kunyonya.

3 Ee Israeli, umtarajie BWANA,

Tangu leo na hata milele.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também