Sifa ya usiku
Wimbo wa kupanda mlima.
1 Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA,
Mhimidini BWANA
Ninyi mnaohudumu usiku
Katika nyumba ya BWANA.
2 Painulieni patakatifu mikono yenu,
Na kumhimidi BWANA.
3 BWANA akubariki toka Sayuni,
Aliyeziumba mbingu na nchi.