Sifa ya usiku
Wimbo wa kupanda mlima.
1 Law 8:35;1 Nya 9:33;Zab 130:6;Lk 2:37 Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA,
Mhimidini BWANA
Ninyi mnaohudumu usiku
Katika nyumba ya BWANA.
2 Zab 28:2;1 Tim 2:8 Painulieni patakatifu mikono yenu,
Na kumhimidi BWANA.
3 Zab 124:8;128:5 BWANA akubariki toka Sayuni,
Aliyeziumba mbingu na nchi.