Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

128 resultados encontrados

  1. Isaías 55

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 55
    Mostrando versículos 2–7 de 13

    2Kwa nini kutumia fedha kwa kitu ambacho si chakula,na kutaabikia kitu kisichoshibisha?Sikilizeni, nisikilizeni mimi na mle kilicho kizuri,nazo nafsi zenu zitafurahia utajiri wa unono.

    6Mtafuteni Bwana maadamu anapatikana;mwiteni maadamu yu karibu.

    7Mtu mwovu na aiache njia yake,na mtu mbaya na ayaache mawazo yake.Yeye na amrudie Bwana, naye atamrehemu,arudi kwa Mungu wetu, kwa kuwa atamsamehe bure kabisa.

  2. 2 Crônicas 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–16 de 17

    1Solomoni mwana wa Daudi alijiimarisha kwenye milango yote! Katika ufalme wake, kwa kuwa Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye, naye akamfanya mkuu mno.

    12kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo."

    16Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue.1:16 Yaani Kilikia. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.

  3. Oséias 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 12–15 de 16

    12Kosa la Efraimu limehifadhiwa,dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.

    14"Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi,nitawakomboa kutoka mautini.Yako wapi, ee mauti, mateso yako?Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako?"Sitakuwa na huruma,

    15hata ingawa Efraimu atastawimiongoni mwa ndugu zake.Upepo wa mashariki kutoka kwa Bwana utakuja,ukivuma kutoka jangwani,chemchemi yake haitatoa majina kisima chake kitakauka.Ghala lake litatekwahazina zake zote.

  4. 2 Reis 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 3–22 de 27

    3Akamwambia bibi yake, "Kama bwana wangu angelimwona nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma wake."

    7Mara mfalme wa Israeli alipomaliza kuisoma ile barua, akararua mavazi yake na kusema, "Je, mimi ni Mungu? Je, mimi naweza kuua na kufufua tena? Kwa nini huyu mtu anamtuma mtu ili mimi nipate kumponya ukoma wake? Tazama jinsi anavyotafuta kuanzisha ugomvi nami!"

    22Gehazi akajibu, "Mambo yote ni sawa. Bwana wangu amenituma nikuambie, ‘Vijana wawili kutoka kwa wana wa manabii wamenijia kutoka nchi ya vilima ya Efraimu. Tafadhali wape talanta ya fedha5:22 Talanta ya fedha ni sawa na kilo 34. na mivao miwili ya mavazi.’ "

  5. 1 Crônicas 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 10–16 de 19

    10Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’

    13Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria Bwana alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.

    16wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye Bwana awe pamoja nawe."

  6. Provérbios 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 11–15 de 22

    11Busara itakuhifadhina ufahamu utakulinda.

    12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

    15ambao mapito yao yamepotokana ambao ni wapotovu katika njia zao.

  7. Salmos 109

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 109
    Mostrando versículos 1–24 de 31

    1Ee Mungu, ambaye ninakusifu,usiwe kimya,

    23Ninafifia kama kivuli cha jioni,nimerushwa-rushwa kama nzige.

    24Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,mwili wangu umedhoofika na kukonda.

  8. Êxodo 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 2–17 de 21

    2Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.

    5Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

    17Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba.

  9. 2 Crônicas 24

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 3–4 de 27

    3Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

    4Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la Bwana.

  10. Gênesis 42

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 42
    Mostrando versículos 11–32 de 38

    11Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi."

    16Tumeni mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu, wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenu yajaribiwe kuona kama mnasema kweli. La sivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi ni wapelelezi!"

    32Tulizaliwa ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja. Mmoja alikufa, na mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu huko Kanaani.’

  11. Isaías 39

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículo 6 de 8

    6Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema Bwana.

  12. Provérbios 17

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 1–22 de 28

    1Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na amani na utulivukuliko kukaa kwenye nyumba ya karamu kukiwa na magomvi.

    17Rafiki hupenda wakati wotenaye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa shida.

    22Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.

  13. Êxodo 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 27–30 de 31

    27kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.

    28"Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako.

    30Ufanye vivyo hivyo kwa ngʼombe wako na kwa kondoo wako. Waache wakae na mama zao kwa siku saba, lakini siku ya nane unipe.

  14. Salmos 15

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 1–3 de 5

    1Bwana, ni nani awezaye kukaakatika Hekalu lako?Nani awezaye kuishikatika mlima wako mtakatifu?

    2Ni yule aendaye pasipo mawaa,atendaye yaliyo haki,asemaye kweli toka moyoni mwake,

    3na hana masingizio ulimini mwake,asiyemtenda jirani yake vibaya,na asiyemsingizia mwenzake,

  15. Gênesis 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 3–9 de 18

    3Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai

    4hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la Bwana.

    9Je, nchi yote haiko mbele yako? Tutengane. Kama ukielekea kushoto, nitakwenda kulia; kama ukielekea kulia, mimi nitakwenda kushoto."

  16. Isaías 46

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 46
    Mostrando versículos 1–12 de 13

    1Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama;sanamu zao zabebwa na wanyama wa mizigo.Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea,mzigo kwa waliochoka.

    11Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye;kutoka nchi ya mbali,mtu atakayetimiza kusudi langu.Lile ambalo nimelisema, ndilo nitakalolitimiza;lile nililolipanga, ndilo nitakalolitenda.

    12Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu,ninyi mlio mbali na haki.

  17. Provérbios 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 7–30 de 36

    7Kinywa changu husema lililo kweli,kwa maana midomo yangu huchukia uovu.

    20Natembea katika njia ya unyofukatika mapito ya haki,

    30Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake.Nilijazwa na furaha siku baada ya siku,nikifurahi daima mbele zake,

  18. Salmos 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 1–7 de 8

    1Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.

    6Maneno ya Bwana ni safi,kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,iliyosafishwa mara saba.

    7Ee Bwana, utatuweka salamana kutulinda na kizazi hiki milele.

  19. Êxodo 31

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 1–12 de 18

    1Ndipo Bwana akamwambia Mose,

    7Hema la Kukutania, Sanduku la Ushuhuda pamoja na kiti cha rehema juu yake, pia na vifaa vyote vya kwenye hema,

    12Kisha Bwana akamwambia Mose,

  20. Gênesis 47

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 47
    Mostrando versículos 2–8 de 31

    2Akachagua ndugu zake watano na kuwaonyesha kwa Farao.

    5Farao akamwambia Yosefu, "Baba yako na ndugu zako wamekuja kwako,

    8Farao akamuuliza, "Je una umri gani?"

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo