3Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,bali Bwana huujaribu moyo.
Resultados da busca por "fé"
114 resultados encontrados
- Capítulo 17
Provérbios 17
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 28 - Capítulo 115
Salmos 115
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 184Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
- Capítulo 42
Gênesis 42
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 382Akaendelea kuwaambia, "Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife."
- Capítulo 31
Êxodo 31
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 184ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,
- Capítulo 46
Isaías 46
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 136Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao,na kupima fedha kwenye mizani;huajiri mfua dhahabu kutengeneza mungu,kisha huisujudia na kuiabudu.
- Capítulo 8
Provérbios 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 3610Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,maarifa badala ya dhahabu safi,
- Capítulo 47
Gênesis 47
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 14 de 3114Yosefu akakusanya fedha zote zilizopatikana kutoka mauzo ya nafaka huko Misri na Kanaani, akazileta kwenye jumba la kifalme la Farao.
- Capítulo 66
Salmos 66
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 2010Ee Mungu, wewe ulitujaribu,ukatusafisha kama fedha.
- Capítulo 2
Isaías 2
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 7 de 227Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,hakuna mwisho wa hazina zao.Nchi yao imejaa farasi,hakuna mwisho wa magari yao.
- Capítulo 7
Provérbios 7
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 20 de 2720Amechukua mkoba uliojazwa fedhana hatakuwepo nyumbani karibuni."
- Capítulo 31
Isaías 31
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 7 de 97Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
- Capítulo 135
Salmos 135
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 15 de 2115Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
- Capítulo 52
Isaías 52
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 153Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:"Mliuzwa pasipo malipo,nanyi mtakombolewa bila fedha."
- Capítulo 60
Isaías 60
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 229Hakika visiwa vinanitazama,merikebu za Tarshishi60:9 Au: za biashara (ona pia 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16). ndizo zinazotangulia,zikiwaleta wana wenu kutoka mbali,wakiwa na fedha na dhahabu zao,kwa heshima ya Bwana, Mungu wenu,yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,kwa maana amekujalia utukufu.