4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome. 5 Tunaangusha mawazo na kila kitu kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na kuteka nyara kila fikira ipate kumtii Al-Masihi.
Publicidade
Publicidade
4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome. 5 Tunaangusha mawazo na kila kitu kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na kuteka nyara kila fikira ipate kumtii Al-Masihi.