Publicidade

Apocalipse 19

Shangwe huko mbinguni

1 Baada ya haya nikasikia sauti kama ya umati mkubwa mbinguni wakipaza sauti na kusema:

"Haleluya!

Wokovu na utukufu na uweza ni vya Mungu wetu,

2 kwa maana hukumu zake

ni za kweli na za haki.

Amemhukumu yule kahaba mkuu

aliyeuharibu ulimwengu kwa uzinzi wake.

Mungu amemlipiza kisasi

kwa ajili ya damu ya watumishi wake."

3 Wakasema tena kwa sauti kuu:

"Haleluya!

Moshi wake huyo kahaba unapanda juu

milele na milele."

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-