Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

138 resultados encontrados

  1. Jó 11

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 4–8 de 20

    4Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamilinami ni safi mbele zako.’

    5Aha! Laiti kwamba Mungu angesema,kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,

    8Ni juu mno kuliko mbingu: unaweza kufanya nini?Kina chake ni kirefu kuliko Kuzimu11:8 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, yaani Shimo lisilo na mwisho.:wewe unaweza kujua nini?

  2. 1 Coríntios 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 4–21 de 21

    4Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana Isa ndiye anihukumuye.

    5Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni hadi Bwana Isa atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.

    21Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

  3. Provérbios 24

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 13–26 de 34

    13Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;asali kutoka sega ni tamu kwa kuonja.

    21Mwanangu, mche Mwenyezi Mungu na mfalme,wala usijiunge na waasi,

    26Jawabu la uaminifuni kama busu la mdomoni.

  4. 1 João 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 4–21 de 21

    4Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani hiyo imani yetu.

    5Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Isa ni Mwana wa Mungu5:5 Yaani Mwana wa asili moja na Mwenyezi Mungu (Yohana 1:1-2), wa kiroho, bali si wa kimwili..

    21Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

  5. Deuteronômio 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 1–20 de 22

    1Wakati ule Mwenyezi Mungu aliniambia, "Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza uje kwangu juu mlimani. Pia utengeneze Sanduku la mbao.

    4Mwenyezi Mungu akaandika juu ya hivi vibao kile alichokuwa amekiandika kabla, Amri Kumi alizokuwa amewatangazia huko mlimani, kutoka kati ya moto siku ile ya kusanyiko. Mwenyezi Mungu akanikabidhi.

    20Mche Mwenyezi Mungu, Mungu wako, na umtumikie yeye. Shikamana naye kwa uthabiti na kuapa kwa jina lake.

  6. João 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 2–48 de 53

    2Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.

    39Isa aliposema haya, alimaanisha Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye wote waliomwamini wangempokea. Kwa maana hadi wakati huo Roho wa Mungu alikuwa hajatolewa, kwa kuwa Isa alikuwa bado hajatukuzwa.

    48Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

  7. Deuteronômio 12

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 6–29 de 32

    6hapo ndipo mtakapoleta sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo zenu, kile ulichoweka nadhiri kutoa, sadaka zenu za hiari na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe, na ya mbuzi na kondoo.

    22Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi na walio safi mnaweza kula.

    29Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atayakatilia mbali mbele yenu mataifa ambayo punde kidogo mtayavamia na kuyaondoa. Lakini mtakapokuwa mmeyafukuza na kuishi katika nchi yao,

  8. Ezequiel 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 23–35 de 63

    23" ‘Ole! Ole wako! Asema Bwana Mungu Mwenyezi. Pamoja na maovu yako yote mengine,

    32" ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni, kuliko mume wako mwenyewe.

    35" ‘Kwa hiyo, wewe kahaba, sikia neno la Mwenyezi Mungu!

  9. Josué 12

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 9–18 de 24

    9mfalme wa Yeriko;mfalme wa Ai (karibu na Betheli);

    17mfalme wa Tapua;mfalme wa Heferi;

    18mfalme wa Afeki;mfalme wa Lasharoni;

  10. Atos 24

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 3–15 de 27

    3Wakati wote na kila mahali, kwa namna yoyote, mtukufu Feliksi, tumeyapokea mambo haya yote kwa shukrani nyingi.

    14Lakini ninakubali kwamba mimi namwabudu Mungu wa baba zetu kama mfuasi wa Njia Ile, ambayo wao wanaiita dhehebu. Ninaamini kila kitu kinachokubaliana na Torati na kile kilichoandikwa katika Manabii,

    15nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwa wenye haki na wasio na haki.

  11. Tiago 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 19–26 de 26

    19Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. Vyema! Hata mashetani wanaamini hivyo na kutetemeka.

    20Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?

    26Kama vile mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

  12. Provérbios 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 2–17 de 25

    2Kutoka tunda la midomo yake, mtu hufurahia mambo mema,bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.

    14Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

    17Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.

  13. Números 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 6–14 de 33

    6kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

    8kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;

    14kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;

  14. 2 Coríntios 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 5–12 de 14

    5Jichunguzeni wenyewe mwone kama mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je, hamtambui ya kuwa Isa Al-Masihi yu ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa kufikia kipimo hicho!

    11Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Kuweni wakamilifu, farijianeni, kuweni na nia moja, na mkae kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.

    12Salimianeni kwa busu takatifu.

  15. Atos 25

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 1–22 de 27

    1Siku tatu baada ya Festo kuwasili Kaisaria kuchukua wajibu wake mpya, alipanda kwenda Yerusalemu,

    13Baada ya siku kadhaa Mfalme Agripa na Bernike wakapanda kuja Kaisaria kumsalimu Festo.

    22Ndipo Agripa akamwambia Festo, "Ningependa kumsikiliza mtu huyo mimi mwenyewe."Yeye akajibu, "Kesho utamsikia."

  16. Hebreus 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 7–25 de 25

    7Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Angalieni matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige imani yao.

    21awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni pake, kupitia kwa Isa Al-Masihi, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.

    25Neema iwe nanyi nyote. Amen.

  17. Isaías 30

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 30
    Mostrando versículos 16–31 de 33

    16Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’Kwa hiyo mtakimbia!Mlisema, ‘Tutakimbia kwa farasi wanaoenda kasi.’Kwa hiyo wanaowafukuza wataenda kasi!

    18Hata hivyo Mwenyezi Mungu anatamani kutupatia neema,anainuka ili kuwaonesha huruma.Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni Mungu wa haki.Wamebarikiwa wote wanaomngojea yeye!

    31Sauti ya Mwenyezi Mungu itaivunjavunja Ashuru,kwa fimbo yake ya utawala atawapiga.

  18. Isaías 61

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 61
    Mostrando versículos 1–10 de 11

    1Roho wa Bwana Mungu Mwenyezi yu juu yangu,kwa sababu Mwenyezi Mungu amenipaka mafutakuwahubiria maskini habari njema.Amenituma kuwafariji waliovunjika moyo,kuwatangazia mateka uhuru wao,na hao waliofungwahabari za kufunguliwa kwao;

    6Nanyi mtaitwa makuhani wa Mwenyezi Mungu,mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.Mtakula utajiri wa mataifa,nanyi katika utajiri wao mtajisifu.

    10Ninafurahia sana katika Mwenyezi Mungu,nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu.Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu,na kunipamba kwa joho la haki,kama vile bwana arusi apambavyokichwa chake kama kuhani,na kama bibi arusi ajipambavyokwa vito vyake vya thamani.

  19. Sofonias 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–17 de 20

    2Hautii mtu yeyote,haukubali maonyo.Haumtumaini Mwenyezi Mungu,haukaribii karibu na Mungu wake.

    10Kutoka ng’ambo ya mito ya Kushiwatu wangu wanaoniabudu,watu wangu waliotawanyika,wataniletea sadaka.

    17Mwenyezi Mungu, Mungu wako, yu pamoja nawe,yeye ni Shujaa mwenye nguvu anayeokoa.Atakufurahia kwa furaha kubwa,atakutuliza kwa pendo lake,atakufurahia kwa kuimba."

  20. Jeremias 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 4–25 de 25

    4Je, wewe hujaniita hivi punde tu:‘Baba yangu, rafiki yangu tangu ujana wangu,

    13Ungama dhambi zako tu:kwamba umemwasi Mwenyezi Mungu, Mungu wako,umetapanya wema wako kwa miungu ya kigenichini ya kila mti unaotanda,nawe hukunitii mimi,’ "asema Mwenyezi Mungu.

    25Sisi na tulale chini katika aibu yetu,na fedheha yetu itufunike.Tumetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu, Mungu wetu,sisi na mababa zetu;tangu ujana wetu hadi leohatukumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wetu."

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo