12Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.
Resultados da busca por "fé"
116 resultados encontrados
- Capítulo 44
Salmos 44
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 12 de 26 - Capítulo 52
Salmos 52
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 91Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?Kwa nini unajivuna mchana kutwa,wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
- Capítulo 30
Isaías 30
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 3 de 333Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,kivuli cha Misri kitawaletea fedheha.
- Capítulo 61
Isaías 61
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 7 de 117Badala ya aibu yaowatu wangu watapokea sehemu maradufu,na badala ya fedhehawatafurahia katika urithi wao;hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi yao,nayo furaha ya milele itakuwa yao.
- Capítulo 19
Provérbios 19
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 26 de 2926Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yakeni mwana aletaye aibu na fedheha.
- Capítulo 3
Sofonias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 18 de 2018"Huzuni katika sikukuu zilizoamriwanitaziondoa kwenu;hizo ni mzigo na fedheha kwenu.
- Capítulo 3
Jeremias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 25 de 2525Sisi na tulale chini katika aibu yetu,na fedheha yetu itufunike.Tumetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu, Mungu wetu,sisi na mababa zetu;tangu ujana wetu hadi leohatukumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wetu."
- Capítulo 23
Jeremias 23
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 40 de 4040Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika."
- Capítulo 17
Juízes 17
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 132Akamwambia mama yake, "Zile shekeli elfu moja na mia moja17:2 Shekeli 1,100 ni sawa na kilo 13. za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa; mimi ndiye niliyezichukua."Ndipo mama yake akamwambia, "Mwenyezi Mungu na akubariki, mwanangu."
- Capítulo 1
Esdras 1
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 4 de 114Nao wakazi wa popote manusura wanapoishi sasa, wawape manusura fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’ "
- Capítulo 12
2 Reis 12
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 4 de 214Yoashi akawaambia makuhani, "Kusanyeni fedha zote zitakazoletwa kama sadaka takatifu kwenye Hekalu la Mwenyezi Mungu, yaani fedha zilizokusanywa watu walipohesabiwa, fedha zilizopokelewa kutokana na nadhiri za watu binafsi, na fedha zilizoletwa kwa hiari hekaluni.
- Capítulo 3
Oséias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 52Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano3:2 Shekeli 15 ni sawa na gramu 170. za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu3:2 Homeri moja na nusu ni kama lita 330. ya shayiri.
- Capítulo 27
Jó 27
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 5 de 235Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
- Capítulo 8
Cânticos 8
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 9 de 149Kama yeye ni ukuta,tutajenga minara ya fedha juu yake.Na kama yeye ni mlango,tutamzungushia mbao za mwerezi.Mpendwa
- Capítulo 23
Gênesis 23
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 13 de 2013akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, "Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu."
- Capítulo 3
Cânticos 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 1110Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,kitako chake kwa dhahabu.Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,gari lake likanakshiwa njumu kwa upendona binti za Yerusalemu.
- Capítulo 28
Mateus 28
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 12 de 2012Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kupanga njama, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha,
- Capítulo 27
2 Crônicas 27
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 3 de 93Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Mwenyezi Mungu na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.
- Capítulo 2
Amós 2
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 166Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu:"Kwa dhambi tatu za Israeli,hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.Wanawauza wenye haki kwa fedha,na maskini kwa jozi ya viatu.
- Capítulo 6
Zacarias 6
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 1510"Chukua fedha na dhahabu kutoka kwa watu waliohamishwa, yaani Heldai, Tobia na Yedaya ambao wamefika kutoka Babeli. Siku hiyo hiyo nenda nyumbani mwa Yosia mwana wa Sefania.