4Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamilinami ni safi mbele zako.’
5Aha! Laiti kwamba Mungu angesema,kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,
8Ni juu mno kuliko mbingu: unaweza kufanya nini?Kina chake ni kirefu kuliko Kuzimu11:8 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, yaani Shimo lisilo na mwisho.:wewe unaweza kujua nini?