Siku ya Mwenyezi Mungu
28 "Hata itakuwa, baada ya hayo,
nitamimina Roho wangu Mtakatifu juu ya wote wenye mwili.
Wana wenu wa kiume na wa kike watatabiri,
wazee wenu wataota ndoto,
na vijana wenu wataona maono.
28 "Hata itakuwa, baada ya hayo,
nitamimina Roho wangu Mtakatifu juu ya wote wenye mwili.
Wana wenu wa kiume na wa kike watatabiri,
wazee wenu wataota ndoto,
na vijana wenu wataona maono.