17 Lakini nitakurudishia afya yako
na kuyaponya majeraha yako,’
asema Mwenyezi Mungu,
‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,
Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’
17 Lakini nitakurudishia afya yako
na kuyaponya majeraha yako,’
asema Mwenyezi Mungu,
‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,
Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’