Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 14

15 Mtu mjinga huamini kila kitu,

bali mwenye busara hufikiria hatua zake.

16 Mtu mwenye hekima humcha Mwenyezi Mungu na kuepuka mabaya,

bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe.

Veja também