20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,
atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,
nao wanaoupenda watakula matunda yake.
20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,
atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,
nao wanaoupenda watakula matunda yake.