Pular para o conteúdo
Publicidade

Provérbios 18

20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,

atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,

nao wanaoupenda watakula matunda yake.

Veja também