Msemo 26
13 Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;
asali kutoka sega ni tamu kwa kuonja.
14 Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako:
Ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,
nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.
13 Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;
asali kutoka sega ni tamu kwa kuonja.
14 Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako:
Ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,
nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.