14 Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako:
Ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,
nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.
14 Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako:
Ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,
nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.