25 Amevikwa nguvu na heshima,
anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.
26 Huzungumza kwa hekima,
na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini mwake.
25 Amevikwa nguvu na heshima,
anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.
26 Huzungumza kwa hekima,
na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini mwake.