3 Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,
ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,
4 baba alinifundisha akisema,
"Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote;
yashike maagizo yangu na wewe utaishi.
3 Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,
ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,
4 baba alinifundisha akisema,
"Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote;
yashike maagizo yangu na wewe utaishi.