Publicidade

Provérbios 6

Onyo dhidi ya uasherati

20 Mwanangu, zishike amri za baba yako,

wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

21 Yafunge katika moyo wako daima,

yakaze kuizunguka shingo yako.

22 Unapotembea, yatakuongoza;

unapolala, yatakulinda;

unapoamka, yatazungumza nawe.

23 Kwa maana amri hii ni taa,

mafundisho haya ni mwanga,

na maonyo ya nidhamu

ni njia ya uzima,

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-