Publicidade

Provérbios 6

6 Ewe mvivu, mwendee mchwa;

zitafakari njia zake ukapate hekima!

7 Kwa maana yeye hana msimamizi,

wala mwangalizi, au mtawala,

8 lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi

na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

9 Ewe mvivu, utalala hata lini?

Utaamka lini kutoka usingizi wako?

10 Kulala kidogo, kusinzia kidogo,

kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

11 umaskini utakuja juu yako kama mnyang’anyi,

na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-