Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 6

6 Ewe mvivu, mwendee mchwa;

zitafakari njia zake ukapate hekima!

7 Kwa maana yeye hana msimamizi,

wala mwangalizi, au mtawala,

8 lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi

na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Veja também