1Mwa 12:10;26:1;41:57;1 Fal 18:2;2 Fal 8:1;Yer 52:6 Njaa ikawa kali katika nchi.
13Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule.
141 Sam 14:6;2 Sam 22:3,31;Ayu 13:15;Zab 22:4;34:8,22;Mit 28:5;Isa 57:13;Nah 1:7 Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.