Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

118 resultados encontrados

  1. Gênesis 43

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 43
    Mostrando versículos 1–14 de 34

    1Mwa 12:10;26:1;41:57;1 Fal 18:2;2 Fal 8:1;Yer 52:6 Njaa ikawa kali katika nchi.

    13Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule.

    141 Sam 14:6;2 Sam 22:3,31;Ayu 13:15;Zab 22:4;34:8,22;Mit 28:5;Isa 57:13;Nah 1:7 Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.

  2. 2 Crônicas 27

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 2–3 de 9

    22 Nya 26:16-21;Zab 119:120;2 Fal 15:35 Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama alivyofanya Uzia babaye; isipokuwa hakuingia hekaluni mwa BWANA. Lakini watu waliendelea kufanya maovu.

    32 Nya 33:14;Neh 3:26 Ndiye aliyelijenga lango la juu la nyumba ya BWANA, na juu ya ukuta wa Ofeli akajenga sana.

  3. Cânticos 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–6 de 11

    2Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini,Katika njia zake na viwanjani,Nimtafute mpendwa wa nafsi yangu.Nikamtafuta, nisimpate.

    3Wim 5:7;Isa 21:6-8,11,12 Walinzi wazungukao mjini waliniona;Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?

    6Wim 8:5;Yer 2:2 Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani,Mfano wake ni nguzo za moshi;Afukizwa manemane na ubani,Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi?

  4. Gênesis 23

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 11–15 de 20

    112 Sam 24:20-24 Sivyo, bwana wangu, unisikilize. Lile shamba nakupa, na pango lililomo nakupa; mbele ya wana wa watu wangu nakupa, uzike maiti wako.

    14Efroni akamjibu Abrahamu, akamwambia,

    15Kut 30:13;Eze 45:12 Bwana wangu, unisikilize. Sehemu ya nchi, ambayo thamani yake ni shekeli za fedha mia nne, ni nini hii baina yako na yangu? Basi uzike maiti wako.

  5. Oséias 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 1–11 de 14

    1Yer 4:13;Hab 1:8 Tia baragumu kinywani mwako. Kama tai, anakuja juu ya nyumba ya BWANA; kwa sababu wamelivunja agano langu, wameiasi sheria yangu.

    92 Fal 15:19 Kwa maana wamekwea kwenda Ashuru, mfano wa punda wa porini aliye peke yake; Efraimu ameajiri wapenzi.

    11Kwa kuwa Efraimu ameongeza madhabahu kwa dhambi, madhabahu zimekuwa dhambi kwake.

  6. Lamentações 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 15–19 de 22

    15Furaha ya mioyo yetu imekoma;Machezo yetu yamegeuka maombolezo.

    16Taji ya kichwa chetu imeanguka;Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.

    19Wewe, BWANA, unadumu milele;Kiti chako cha enzi ni tangu kizazi hata kizazi.

  7. Neemias 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 9–19 de 19

    9Mwa 20:11;Law 25:36;Mdo 9:31;Mwa 13:7,8;2 Sam 12:14;Rum 2:24;Tit 2:5;1 Pet 2:12 Tena nilisema, Neno hili mnalolitenda si jema; je! Haiwapasi ninyi kwenda katika kicho cha Mungu wetu, kwa sababu ya mashutumu ya makafiri adui zetu?

    13Mt 10:14;Mdo 13:51;Zek 5:4;2 Fal 23:3 Tena nikakung’uta nguo yangu, nikasema, Mungu na amkung’ute vivyo hivyo kila mtu nyumbani mwake, na kazini mwake, asiyeitimiza ahadi hiyo; naam, na akung’utwe vivyo hivyo, na kuwa hana kitu. Mkutano wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA. Nao watu wakafanya kama walivyoahidi.

    19Neh 13:22 Unikumbuke, Ee Mungu wangu, kwa mema, wote niliowatendea watu hawa.

  8. Amós 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 1–16 de 16

    1Isa 15:1—16:14;25:10-12;Yer 48:1-47;Eze 25:8-11 Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Moabu, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu aliichoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hata ikawa chokaa; Sef 2:8-11; 2 Fal 3:27

    13Tazameni, nitawalemea ninyi,Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.

    16Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaaAtakimbia uchi siku ile, asema BWANA.

  9. Atos 23

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 13–26 de 35

    13Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arubaini.

    25Akaandika barua, juu ya hili,

    26Lk 1:3 Klaudio Lisia kwa mtawala mtukufu Feliki, Salamu!

  10. 2 Reis 22

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 5–11 de 20

    52 Fal 12:11-14 tena waitie ile fedha katika mikono ya wafanya kazi wanaoisimamia nyumba ya BWANA; wakapewe wafanya kazi waliomo ndani ya nyumba ya BWANA, ili wapate kupatengeneza mahali palipobomoka ndani ya nyumba;

    112 Nya 34:20 Ikawa, mfalme alipokwisha kuyasikia maneno ya kitabu hicho cha torati, alirarua nguo zake.

  11. Malaquias 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–13 de 18

    2Isa 4:4;Yoe 2:11;Ufu 6:17 Lakini ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo;

    8Neh 13:10 Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.

    13Maneno yenu yamekuwa magumu juu yangu, asema BWANA. Lakini ninyi mwasema, Tumesema maneno juu yako kwa namna gani?

  12. Provérbios 9

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 1–10 de 18

    1Mt 16:18;Efe 2:20;1 Tim 3:15;Ebr 3:3-6 Hekima ameijenga nyumba yake,Amezichonga nguzo zake saba;

    5Wim 5:1;Isa 55:1;Mt 26:26-28 Njoo ule mkate wangu,Ukanywe divai niliyoichanganya.

    10Ayu 28:28;Zab 111:10;Mit 1:7 Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima;Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.

  13. 1 Pedro 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–14 de 14

    11Uweza una yeye hata milele na milele. Amina.

    12Mdo 15:22,40;Ebr 13:22 Kwa mkono wa Silwano, ndugu mwaminifu kama nijuavyo, nimewaandikia kwa maneno machache, kuonya na kushuhudia ya kuwa hii ndiyo neema ya kweli ya Mungu. Simameni imara katika hiyo.

    141 Kor 16:20 Salimianeni kwa busu la upendo.Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.

  14. 1 Crônicas 18

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 18
    Mostrando versículo 12 de 17

    122 Sam 7:13;2 Fal 14:7;2 Nya 25:11 Tena Abishai, mwana wa Seruya, akawaua Waedomi elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.

  15. Zacarias 13

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 6 de 9

    6Na mtu yeyote akimwuliza, Je! Majeraha haya yote uliyo nayo katikati ya mikono yako ni nini? Naye atajibu, Ni majeraha niliyotiwa katika nyumba ya rafiki zangu.

  16. Miquéias 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 11 de 12

    11Isa 1:23;Eze 22:12;Hos 4:18;Mik 7:3;Yer 6:13;Tit 1:11;1 Sam 4:5,6;Isa 48:2 Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate fedha; ila hata hivyo watamtegemea BWANA, na kusema, Je! Hayupo BWANA katikati yetu? Hapana neno baya lolote litakalotufikia.

  17. Salmos 35

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 35
    Mostrando versículos 2–17 de 28

    2Uishike ngao na kikingio,Uinuke unisaidie.

    10Zab 71:19 Mifupa yangu yote itasema,BWANA, ni nani aliye kama Wewe?Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye,Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.

    17BWANA, utatazama hadi lini?Uiokoe nafsi yangu kutoka kwa maangamizi yao,Na maisha yangu kutoka kwa wanasimba.

  18. Zacarias 11

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 4–15 de 17

    4BWANA, Mungu wangu, alisema hivi, Lilishe kundi la machinjo,

    13Mt 27:9-10 Kisha BWANA akaniambia, Mtupie mfinyanzi kima kizuri, hicho nilichotiwa kima na watu hao. Basi nikavitwaa vile vipande thelathini vya fedha, nikamtupia huyo mfinyanzi ndani ya nyumba ya BWANA.

    15Eze 34:2 BWANA akaniambia, Jitwalie tena vyombo vya mchungaji mpumbavu.

  19. 2 Crônicas 16

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 8–13 de 14

    82 Nya 14:9;12:3 Je! Hao Wakushi na Walubi hawakuwa jeshi kubwa mno, wenye magari na wapanda farasi wengi sana? Lakini, kwa kuwa ulimtegemea BWANA, aliwatia mkononi mwako.

    92 Nya 6:20;Ayu 34:21;Mit 5:21;15:3;Yer 16:17;32:19;Zek 4:10;Ebr 4:13;1 Pet 3:12;1 Sam 13:13;1 Nya 21:8;Yer 5:21;Mt 5:22;1 Kor 15:36;1 Fal 15:32 Kwa maana macho ya BWANA hukimbia kimbia duniani kote, ili ajionesha kuwa mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita.

    13Asa akalala na babaze, akafa katika mwaka wa arubaini na mmoja wa kumiliki kwake.

  20. Eclesiastes 12

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 6–8 de 14

    6Kabla haijakatika kamba ya fedha;Au kuvunjwa bakuli la dhahabu;Au mtungi kuvunjika kisimani;Au gurudumu kuvunjika birikani;

    7Mwa 3:19;Mhu 3:21;Mwa 2:7;Hes 16:22 Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.

    8Mhubiri asema, Ubatili mtupu; mambo yote ni ubatili!

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo