Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

116 resultados encontrados

  1. João 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículo 14 de 25

    14Mt 21:12,13;Mk 11:15-17;Lk 19:45,46 Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng’ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi.

  2. 2 Crônicas 27

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 27
    Mostrando versículo 3 de 9

    32 Nya 33:14;Neh 3:26 Ndiye aliyelijenga lango la juu la nyumba ya BWANA, na juu ya ukuta wa Ofeli akajenga sana.

  3. Gênesis 43

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 43
    Mostrando versículo 8 de 34

    8Yuda akamwambia Israeli baba yake, Mtume kijana pamoja nami, tuondoke, tuende zetu, ili tupate kuishi, wala tusife, sisi na wewe na watoto wetu.

  4. Gênesis 17

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 17
    Mostrando versículo 12 de 27

    12Lk 2:21;Yn 7:22 Katika vizazi vyako vyote, kila mtoto wa kiume miongoni mwenu atatahiriwa akiwa na umri wa siku nane, awe mtumishi aliyezaliwa katika nyumba yako au uliyemnunua kwa fedha zako japo hakuwa wa uzao wako.

  5. Oséias 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 4 de 14

    41 Fal 12:16-20;2 Fal 15:13,17,25 Wamesimamisha wafalme, lakini si kwa shauri langu; wamejifanyia wakuu, lakini nilikuwa sina habari; kwa fedha yao na dhahabu yao wamejifanyia sanamu, kusudi wakatiliwe mbali.

  6. Neemias 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículo 4 de 19

    4Tena walikuwako wengine waliosema, Tumekopa fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa kuweka rehani mashamba yetu, na mizabibu yetu.

  7. Lamentações 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículo 4 de 22

    4Tumekunywa maji yetu kwa fedha;Kuni zetu twauziwa.

  8. Atos 23

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 23
    Mostrando versículo 22 de 35

    22Basi yule jemadari akamwacha kijana aende zake, akimwagiza, Usimwambie mtu awaye yote ya kwamba umeniambia haya.

  9. Amós 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículo 6 de 16

    6Isa 29:21;Amo 5:11,12 Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Israeli, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu wamewauza wenye haki kwa fedha, na maskini kwa jozi ya viatu;

  10. 2 Reis 22

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 22
    Mostrando versículo 4 de 20

    42 Fal 12:4,9;2 Nya 24:8-14;Mk 12:41,42;Neh 11:19;Zab 84:10 Nenda kwa Hilkia, kuhani mkuu, ili aihesabu fedha yote inayoletwa nyumbani mwa BWANA, ambayo mabawabu wameipokea kwa watu;

  11. Malaquias 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 2 de 18

    2Isa 4:4;Yoe 2:11;Ufu 6:17 Lakini ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo;

  12. Provérbios 9

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 9
    Mostrando versículo 1 de 18

    1Mt 16:18;Efe 2:20;1 Tim 3:15;Ebr 3:3-6 Hekima ameijenga nyumba yake,Amezichonga nguzo zake saba;

  13. Êxodo 38

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 38
    Mostrando versículo 10 de 31

    10nguzo zake zilikuwa ishirini, na vitako vyake vilikuwa ishirini, vilikuwa vya shaba; kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.

  14. 1 Crônicas 18

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 18
    Mostrando versículo 10 de 17

    102 Sam 8:10 akamtuma mwanawe Hadoramu kwa mfalme Daudi, ili kumsalimia, na kumbarikia, kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri, na kumpiga; kwa maana Hadadezeri alikuwa amepigana vita juu ya Tou; naye akaleta vyombo vya dhahabu, na fedha, na shaba, vya namna zote.

  15. Zacarias 13

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 9 de 9

    9Isa 48:10;Zab 66:10;Mal 3:4;1 Pet 1:6,7;Ufu 2:10 Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.

  16. Miquéias 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 11 de 12

    11Isa 1:23;Eze 22:12;Hos 4:18;Mik 7:3;Yer 6:13;Tit 1:11;1 Sam 4:5,6;Isa 48:2 Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate fedha; ila hata hivyo watamtegemea BWANA, na kusema, Je! Hayupo BWANA katikati yetu? Hapana neno baya lolote litakalotufikia.

  17. Salmos 35

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 35
    Mostrando versículo 4 de 28

    4Waaibike na kufedheheka,Wanaoitafuta nafsi yangu.Warudishwe nyuma, wafadhaishwe,Wanaonizulia mabaya.

  18. Zacarias 11

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 11
    Mostrando versículo 9 de 17

    9Yer 15:2 Ndipo nikasema, Sitawalisheni; afaye na afe; atakayekatiliwa mbali na akatiliwe mbali; nao waliosalia, kila mmoja na ale nyama ya mwili wa mwenziwe.

  19. 2 Crônicas 16

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 16
    Mostrando versículo 2 de 14

    2Ndipo Asa akatoa fedha na dhahabu katika hazina za nyumba ya BWANA, na nyumba ya mfalme, akampelekea Ben-hadadi mfalme wa Shamu, aliyekaa Dameski, akasema,

  20. Levítico 27

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 27
    Mostrando versículo 3 de 34

    3Kut 30:13;Hes 3:47;18:16;Eze 45:12 Na hesabu yako itakuwa kwa mwanamume, tokea aliye na umri wa miaka ishirini hata umri wa miaka sitini, hesabu yako itakuwa shekeli hamsini za fedha, kwa shekeli ya mahali patakatifu.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo